Stephen King wa America kwenye controversial issue na fans wake

Stephen King wa America apatikana kwenye shida  na mashabiki wake baada ya kupost vichekesho vinavyo abatana na vichekesho vya Donald Trump

Kwenye post hio alikua ana kashiva wana Haiti 🇭🇹
Stephen King, The King of horrors 
Aliadika ivi "Why did Donald J. Trump cross the road? To see Haitians eating pets on the other side." hili jambo limezua kumzu kwa mashabiki wake wengi
Kwa hilo andiko Stephen alikua anaamanisha kua, wakimbizi wa Haiti wamikua Wakila wanyama wa kufungua kama paka kwenye town ndogo ya Ohio
Na wengi wa mafans wake wana chukulio hilo kama neno la kukejeli 

Comments

Popular posts from this blog

This why uda have summons senator orwoba

Despair and Hope in Kibera: The Story of Ann Akinyi Onyango, a Young Mother Battling Breast Cancer Edgar Odhiambo Freelance journalist