msani wa gospel bahati na ahadi za ukora

Msani wa gospel wa inchini kenya aliwaidi Wakenya kua baada ya mechi ya Arsenali na PSG atanyoa nywele zake
Msani huyu alisema kua iwapo Arsenali itashidwa atainyoa nywele zake 
Ila baada ya mechi hio msani huyu anaye julikana kwa nyimbo zake za mitindo za kisasa gospel secular 
Ali walipa mablogger na photo editor na kufanyia picha ukarabati ili awa adae Wakenya kua amezinyoa nywele zake!!
Bahati ama fanya ili kitendo bila kujua 
Wakenya pia ni watu wanao jua technology 
Wengi wamefokea kitendo hicho kwa sana 
Pich hii ni kwa hisani ya the star news 

Comments

Popular posts from this blog

This why uda have summons senator orwoba

Despair and Hope in Kibera: The Story of Ann Akinyi Onyango, a Young Mother Battling Breast Cancer Edgar Odhiambo Freelance journalist